BigMoody

Monday, July 16, 2012

VI2KO VYA ARETHA FRANKLIN

BI ARETHA LOUISE FRANKLIN
Mkali wa muziki wa Soul toka Marekani,Aretha Loiuse Franklin mwenye umri wa maiak 69 amechumbiwa na long time friend wake William 'Willie' Wilkerson
....MAHARUSI WATARAJIWA....WILLIAM WILKERSON vs ARETHA FRANKLIN....
Aretha Franklin ambaye ni mshindi wa tuzo za Grammy alivalishwa pete na Wilkerson wakati wa mapumziko ya mwisho wa mwaka na kwa sasa mipango ya harusi inafanyika pande za Miami Beach,Florida na Bibi Aretha Franklin ana mpango wa kufanya sherehe ya watu wake wa karibu tu kwenye boti na anafikiria ma-designer kama Vera Wang,Valentino na Donna Karan wamtengenezee gauni lake la harusi na hii itakua ni ndoa yake ya 3 baada ya kuolewa mara 2 kabla

No comments: