BigMoody

Monday, July 16, 2012

BIFF ZA MTONI

RAPPER DMX....AVAMIWA KWENYE STAGE...!

EARL SIMMONS - RAPPER DMX
Rapper DMX,amepata msala alipokua anapiga show pande za Cafe Sevilla,Long Beach-California baada ya fan wake mmoja kuruka kwenye stage na kumvaa Wakati DMX anaanza kuimba track yake ya One More Road to Cross iliyokua kwenye album yake ya 3 aliwauliza fans wake "Are you ready to get this shi* started for real?....ndipo jamaa alivamia stage na na kumkaba shingoni kabla ya security kumuokoa DMX na mumtoa kwenye stage
0 comments

No comments: