BigMoody

Monday, July 16, 2012

NICK CANNON

NICK CANNON....KWA HOSPITAL
Baada ya kulazwa ghafla hospitali kwa matatizo ya figo,Nick Cannon amefunguka kupitia mtandao wa twitter kuwa ameshafanyiwa upasuaji
Kwa sasa Singer,actor na TV star,Nick Cannon anaendelea poa na amewashukuru fans wake kwa kumuombea

No comments: