BigMoody

Monday, July 16, 2012

MSALA WA BEYONCE NA JAYZ

JAY Z vs BEYONCE
Celebz,Jay Z na Beyonce bila kujijua walisababisha shabiki wao mmoja kuchomwa kisu pande Ohio – Marekani baada ya kutokea mabishano juu yao
RONALD DEAVER
Issue ilianza baada ya jamaa mwenye miaka 48 kubishana na jamaa anayekwenda kwa jina la Ronald Deaver mwenye miaka 31,kwa kua alikua hana habari kama Beyonce ameolewa na Jay Z na mpaka kuwa na 'kitumbo' ndipo kulisababisha Ronald kumchoma kisu na kupelekea kukamatwa na maafisa polisi wa Ohio nchini Marekani

No comments: