BigMoody

Monday, July 16, 2012

TOTO LA BEYONCE NA JAY Z

BABY BABA - JIGGA vs BABY MAMA - QUEEN B
Artist Beyonce Jigga Knowles na Rapper Jay Z,baada ya kuwa na uhusiano kwa miaka 6 na kufunga ndoa rasmi April 2008,wamepata motto wa kike waliyembatiza jina la Ivy Blue Carter jijini New York
Imefunguliwa kuwa Beyonce alijifungua pande za Lenox Hill Hospital,Ijumaa usiku baada ya kukodi ghorofa ya 4 sehemu ya hospitali hiyo kwa dola milioni 1.3 za kimarekani
Kabla ya kujifungua ma-doctor na ma-nurse wa hospitali hiyo walikatazwa kufika ghorofa ya 4 na wale waliokua pande hizo walinyanganywa simu zao ili wasiweze kupiga picha wakati Beyonce akijifungua

No comments: