BasketBaller Kobe Bryant toka Los Angeles Lakers imefunguliwa kuwa ameichakachua ndoa yake kwa kutembea nje ya ndoa

KOBE & VANESSA BRYANT
Inadaiwa
kuwa NBA star Kobe Bryant amemchakachua wife wake
Vanessa Bryant aliyezaa nae watoto 2,kwa kutembea na wanawake
wapatao 105 katika kipindi cha miaka 10 ya ndoa yao

....KOBE BRYANT FAMILY....
Vanessa
alimkodi mtu kumpeleleza Kobe Bryant na inasemekana
ameshakula uroda na rafiki wa Kim Kardashian,Carla DiBello,Playboy
model Jessica Burciaga na actress Sanaa Lathan na kwa sasa
Vanessa amewasilisha madai ya talaka na kwa mujibu wa sheria za
California, mali zilizochumwa wakati wa ndoa
hugawiwa nusu kwa nusu na utajiri wa Kobe Bryant
unakadiriwa kufikia $ milioni 200